Survival hospitalSurvival hospitalSurvival hospital
Geita - Tanzania
+255 767 710 320

Children Health

IJUE MAANA YA LOGO YA HOSPITALI YA SURVIVAL

                          LOGO YA SURVIVAL Logo hii ilibuniwa na Mr. Rutenge au Dr. Survival na kupewa namba ya usajili wa alama za Biashara (Logo)  TZ/S/2023/1096 na BRELA mnamo 2023. Sasa zitambue alama muhimu katika logo hiyo. ALAMA ZINAZO ONEKANA MIKONO MIWILI SKAFU YA BLUE […]
Read More

JOB VACANCIES AT SURVIVAL HOSPITAL

OVERVIEW Survival Hospital is the private hospital located at Rushe, Mabira, Kyerwa District in Kagera Region. It is a private hospital that launched its operation in August 2024. The hospital has launched all units of operation includes Pharmacy, laboratory, Laboure, Theatre, RCH, Maternity, paternity, radiology,  emergency, neonatal, mortuary and ward for admission of patient. The […]
Read More

Dr. Survival TODAY

“Health is not just the absence of disease, but the presence of awareness — the more we know, the better we live” “Afya siyo tu kukosekana kwa magonjwa, bali ni uwepo wa uelewa — kadri tunavyojua zaidi, ndivyo tunavyoishi vyema zaidi.” Stay Safe💪💪
Read More

JE UMEPATA KUFAHAMU HILI

Hospitali ya Survival ipo mbioni kupanua uwezo wa kutoa huduma zake. Sasa kuanzia mwezi wa June 2025, hospitali hiyo itakuwa kituo bora cha upasuaji. Amesema hayo Mkurugenzi mkuu wa Hospitali hiyo CPA. S.K.Rutenge, wakati akitoa ufafanuzi juu ya huduma zinazo tolewa na zile ambazo wanatarajia kuanza kuzitoa. Ameongeza kuwa kwa sasa huduma za OPD, RCH, […]
Read More

NEW TENDERS AT SURVIVAL HOSPITAL

IMPORTATANT NOTE: Incase of any Inquiry pleases call or Send SMS through (0767 710320 OR o762120540) QUOTATION TO BE SENT THROUGH procurements@survival.co.tz OR info@survival.co.tz and Cc the following Emails: ceo@survival.co.tz    and                 director-admin@survival.co.tz Survival Hospital is the private hospital located at Rushe, Mabira, Kyerwa District in Kagera Region. […]
Read More

KAMBI YA MADAKTARI BINGWA HOSPITALINI

Habari mpenzi na rafiki wa SURVIVAL HOSPITAL. Uongozi wa Hospitali ya Survival iliyopo  katika kata ya Mabira Wilayani Kyerwa Mkoani Kagera, wanapenda kukufahamisha kuwa kuanzia Tarehe 22 Hadi Tarehe 25 Januari mwezi Mwaka huuwa 2025, kutakuwa na Kiliniki ya Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Uzazi na akina mama. Kliniki hiyo inatarajiwa kufanyika katika hospitali hiyo. […]
Read More

MGUU KWA MGUU NA NYUMBA KWA NYUMBA

Hospital ya Survival iliopo Kyerwa Mkoani Kagera sasa kutoa elimu ya umuhimu wa kutumia huduma za afya badala ya kuwaficha wagonjwa nyumbani na kuwanunulia dawa au jamii kununua dawa na kutumia bila kupata ushauri wa Daktari. Suala hili limekuwa likiongezeka katika jamii zetu ambapo watu huenda katika maduka maduka ya dawa na kununua dawa kisha […]
Read More