Ndugu, Bonyeza hapa, kufungua hutuba yenye maneno matamu. HOTUBA YA CEO KWA WAFANYAKAZI KATIKA SHEREHE ZA MEI MOSI-HOSPITALI YA SURVIVAL “SISI NI SEHEMU YA TUMAINI JEMA”
LOGO YA SURVIVAL Logo hii ilibuniwa na Mr. Rutenge au Dr. Survival na kupewa namba ya usajili wa alama za Biashara (Logo) TZ/S/2023/1096 na BRELA mnamo 2023. Sasa zitambue alama muhimu katika logo hiyo. ALAMA ZINAZO ONEKANA MIKONO MIWILI SKAFU YA BLUE […]
MAANA YA NENO “SURVIVAL” Neno “Survival” linatokana na Kiingereza, likimaanisha: “Kuendelea kuishi au kustahimili baada ya hatari, maumivu, kifo au hali ngumu.” Kiroho, linaweza kuchukua maana hizi: 1. Ushindi dhidi ya mauti au majaribu. 2. Kuendelea kwa uzima wa urithi wa wazazi wako, hata baada ya wao kufa. 3. Mshikamano wa roho – kuwa hai […]
OVERVIEW Survival Hospital is the private hospital located at Rushe, Mabira, Kyerwa District in Kagera Region. It is a private hospital that launched its operation in August 2024. The hospital has launched all units of operation includes Pharmacy, laboratory, Laboure, Theatre, RCH, Maternity, paternity, radiology, emergency, neonatal, mortuary and ward for admission of patient. The […]
“Health is not just the absence of disease, but the presence of awareness — the more we know, the better we live” “Afya siyo tu kukosekana kwa magonjwa, bali ni uwepo wa uelewa — kadri tunavyojua zaidi, ndivyo tunavyoishi vyema zaidi.” Stay Safe💪💪
Hospitali ya Survival ipo mbioni kupanua uwezo wa kutoa huduma zake. Sasa kuanzia mwezi wa June 2025, hospitali hiyo itakuwa kituo bora cha upasuaji. Amesema hayo Mkurugenzi mkuu wa Hospitali hiyo CPA. S.K.Rutenge, wakati akitoa ufafanuzi juu ya huduma zinazo tolewa na zile ambazo wanatarajia kuanza kuzitoa. Ameongeza kuwa kwa sasa huduma za OPD, RCH, […]
IMPORTATANT NOTE: Incase of any Inquiry pleases call or Send SMS through (0767 710320 OR o762120540) QUOTATION TO BE SENT THROUGH procurements@survival.co.tz OR info@survival.co.tz and Cc the following Emails: ceo@survival.co.tz and director-admin@survival.co.tz Survival Hospital is the private hospital located at Rushe, Mabira, Kyerwa District in Kagera Region. […]
Habari mpenzi na rafiki wa SURVIVAL HOSPITAL. Uongozi wa Hospitali ya Survival iliyopo katika kata ya Mabira Wilayani Kyerwa Mkoani Kagera, wanapenda kukufahamisha kuwa kuanzia Tarehe 22 Hadi Tarehe 25 Januari mwezi Mwaka huuwa 2025, kutakuwa na Kiliniki ya Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Uzazi na akina mama. Kliniki hiyo inatarajiwa kufanyika katika hospitali hiyo. […]
Hospital ya Survival iliopo Kyerwa Mkoani Kagera sasa kutoa elimu ya umuhimu wa kutumia huduma za afya badala ya kuwaficha wagonjwa nyumbani na kuwanunulia dawa au jamii kununua dawa na kutumia bila kupata ushauri wa Daktari. Suala hili limekuwa likiongezeka katika jamii zetu ambapo watu huenda katika maduka maduka ya dawa na kununua dawa kisha […]